Alhamisi, 25 Agosti 2011

Unajua Kama Una Haki ya Kuwa Tajiri?

Mambo yote yamesemwa juu ya kutukuza umasikini, hoja inabaki pale pale kuwa huwezi kuishi maisha timilifu na yenye mafanikio bila kuwa tajiri. Hakuna anayeweza kufikia hatua ya juu kabisa katika vipaji vyake au kukua kiroho isipokuwa ana fedha nyingi, kwa kuwa kukuza roho na kipaji lazima uwe na fedha nyingi, na huwezi kuvipata vitu hivyo mpaka uwe na fedha za kuvinunua. Mtu huendeleza akili, roho na mwili kwa kutumia vitu, na jamii imejipanga kutuwezesha kuvipata vitu hivyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni