Mambo yote yamesemwa juu ya kutukuza umasikini, hoja inabaki pale pale kuwa huwezi kuishi maisha timilifu na yenye mafanikio bila kuwa tajiri. Hakuna anayeweza kufikia hatua ya juu kabisa katika vipaji vyake au kukua kiroho isipokuwa ana fedha nyingi, kwa kuwa kukuza roho na kipaji lazima uwe na fedha nyingi, na huwezi kuvipata vitu hivyo mpaka uwe na fedha za kuvinunua. Mtu huendeleza akili, roho na mwili kwa kutumia vitu, na jamii imejipanga kutuwezesha kuvipata vitu hivyo.
JCM Marketing Coach ni Taasisi ambayo hutoa mafunzo kwa wafanyabiashara kwa ujumla jinsi ya kuanzisha, kukuza na kuendeleza biashara. Kama umehangaika sana kutafuta biashara ya kufanya, tutabuni pamoja mradi wa kufanya; kama unahangaika sana kutafuta wateja, tuna njia nyepesi na rahisi sana ya kufanya wateja wakutafute wewe. Tunajikita katika Business Coaching, Mentoring na Consultancy.
Tafuta katika Blogu Hii
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni